ANGEL BENARD AFANYA COLLABO NA MWIMBAJI MKALI WA KENYA.

Mrembo na mwimbaji wa nyimbo za injili hapa nchini,  Mwanadada Angel benard anaetamba na wimbo wake mpya "Salama", ambao kiukweli umegusa maisha ya watu wengi ndani na nje ya nchi. 

Jana kuna baadhi ya picha zilisambaa katika mitandao ya kijamii na kuacha maswali mengi katika vichwa vya mashabiki na wapenzi wa nyimbo za injili. 
Baada picha izo za Angel Benard akiwa na Mercy Masika "Mkenya,  Pia mshindi wa tuzo za Groove katika vipengele vitatu tofauti" katika studio za Still Alive nchini Kenya, Angel Benard amekiri na kusema kwamba wamerecord wimbo pamoja na mshindi huyu wa tuzo za Groove.
"My sister and friend in Christ  Jesus. @mercymasikamuguro. Leo katika studio za Still Alive in Nairobi mara tu baada ya kumaliza kurekodi wimbo pamoja. Umekuwa wakati wa baraka sana." Alisema Angel Benard Kupitia Fan page yake ya facebook.
Share on Google Plus

About Bachema

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment